Mwanakheri Afunguka, Tofauti na Sanaa Yeye Pia Ni Machinga.
Msanii wa bongo movie, Mwanakheri amefunguka na kusemakuwa pampoja na kwamba yeye anafanya kazi za sanaa lakini pia kazi anazofanya nje ya sanaa zimekuwa zikimsaidia sana kuendelea kujikimu na kuweza kumudu maisha yake binafsi.
Mwanakheri anasema kuwa kama angekuwa amekomaa tu katika sanaa bila kuwa na kitu kingine wala hasingekuwa hivyuo alivyo .mwanakheri ambae kwa sasa amefungua duka kubwa la kuuza nguo ainaya madela tandika anasema kuwa umachinga huo ndio uliomuokoa na kumuweka mjini kwa sasa.
Mimi ningefanya haya wala nisngekuwa nimefika hapa hata kidogo lakini kwa sababu niliweka mambo ya ustaa pembeni na kuamua kufanya maisha na mpaka sasa mungu kanibariki, siwezi kusema kuwa nitakosa ela ya kula hata kidogokama ningesubiri mpaka filamu zangu ziuze ningekuwa katika wakati mgumu sana.