Mwanaume Kuchepuka Ndivyo Walivyoumbwa na Mungu: Shamsa Ford

Muigizaji wa Bongo fleva Shamsa Ford amefunguka na kudai kuwa mwanaume yoyote lazima achiti/ achepuke na wanawake wengine kwa kuwa ndivyo walivyoumbwa na Mungu.

Shamsa amesisitiza na kusema hakuna mwanaume ambaye hachepuki kila mwanaume lazima achepuke  na hakuna mwanaume ambaye anaweza kuwa na mwanamke mmoja tu.

download latest music    

Kupitia mitandao ya kijamii Shamsa ameandika maneno haya:

Mwanaume kucheat ndivyo alivyoumbwa na Mungu, hamna mwanaume ambaye hacheat Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja. Bill Clinton alishawahi kuwa na kesi alicheat, Jay Z alikiri amemcheat Beyonce na uzuri wake wote na ustaa wake wote ule”.

Siku za nyuma kidogo mume wa Shamsa Chidi Mapenzi alishawahi kukumbwa na skendo ya kuchepuka na mwanamke mwingine mara moja Shamsa aliweka wazi kuwa hana mpango wa kuachana naye wala hatokuja kumuacha mume wake kisa ana wanawake wa pembeni.

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.