Mwarabu Fighter Afunguka Baada Ya Kupata Ajali

Bodyguard wa staa wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz, Mwarabu Fighter amefunguka kwa mara ya kwanza tangu apate ajali ya gari mapema wiki iliyopita.

Mlinzi wa Diamond Aliripotiwa kupata ajali hiyo mbaya wiki iliyopita ambayo kwa kiasi kikubwa ilimpa majeraha maeneo ya uso.

download latest music    

Baada ya kulazwa hospitalini kwa muda wa siku kadhaa Mwarabu Fighter ameonekana kupata ahueni na kusema kuwa kama si mipango ya Mungu basi angekuwa ameshafariki dunia kutokana na ajali hiyo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mwarabu Fighter aliandika ujumbe huu:

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuiona siku ya leo maana kama sio mapenzi yake inawezekana kabisa leo hii nisinge kuwepo kutokana anajali mbaya sana nilio nusurika…?”.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.