Mwijaku Awaonea Wivu Jacquline na Mume Wake

Moja ya waigzaji na wasemaji sana ktaika mitandao ya kijamii Mwijaku amefunguka na kusema kuwa moja ya vitu anavyotamanisana katika maisha yake ni kuwa na familia bora kama ile ya mengi na mke wake.

Mwijaku anasema kuwa  mke wabwana mengi ni moja kati  ya wanawke wachache sana wenye pesa nyingi lakini pia na heshima kubwa sana katika jamii na hata mitandaoni., pamoja na umri wake kuwa mkubwa lakini amekuwa moja kati ya wanawake wachache sana walioweza kutunza heshima zao kwa muda mrefu bila kuwa na skendo mbya ambapo kwa mijaku hii anaita ni ubora wa mwanamke.

download latest music    

Mwijaku anasema kuwa ifike mahali, mwanamke anatakiwa kujua idaid na kiwango cha wanaume wa kuwa nao katika mahusiano kabla ya kuoa au kuolewa lakini pia sio kila mwanamke ni wa kumtongoza vivyo hivyo kwa mwanamke sio kila mwanaume ni wa kumpa namba.

Mwijaku anasema kuwa anachoona wivu kwa mengi ni kuwa amekuwa moja kati ya wazee wachache sana wenye bahati ya kuzeeka akiwa kama brother men , kitu ambacho sio rahisi kila mtu kukipata.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.