Mzee Majuto Atangaza Kuwasamehe Wanaomdai
Msanii wa bongo movies mzee majuto ametangaza kuwasamehe wale wote waliokuwa wakimdai na kusema kuwa hana haja ya juwadai tena hata kama ilikuwa pesa nyingi kiasi gani.
mzee majuto amemuomba mh mwakyembe hasiendelee kuwadai wala kushughulikia swala la madai yake tena kwa sababu alishawasamehe wote anaowadai.
pindi mzee majuto anaumwa na kukosa pesa ya matibabu , waziri mwakyembe akitangaza kufuatilia mikataba yote ya mzee majuto ikiwemo matangazo na kila biashara ya filamu aliyoifanya ili kuangalia sehemu gani wamemdhulumu ili aweze kupata haki yao.
ambapo baada ya kutangaza hivyo aliomba familia ya mzee majuto kutafuta nyaraka zote za mzee majuto ili kufuatilia madai hayo lakini baada ya mzee huyo kupata nafuu amesema kuwa hakuna haja hata kama kuna mtu anamdai shilingi 100.