Mzee Yusuf afunguka kuhusu kuoa tena baada ya mke wake kufariki

Image: Mzee Yusuf na mkewe, Leyla Rashid

Alhaj Mzee Yusuf hivi karibuni alimpoteza
mke wake ambaye alikuwa akijifungua mtoto wao. Kifo chake kilibadilisha maisha ya Mzee Yusuf na wanawe lakini wamejifunza kuishi hadi watakopo kutana tena.

Hivi karibuni Mzee Yusuf kwa mara ya kwanza alifunguka kuzungumzia ikiwa anapanga kupata mke mwingine. Hata hivyo Mzee Yusuf akili ambao Gazeti la Risasi kuwa suala hilo ni la Allah na akipata bibi basi ataoa lakini kwa sasa ameamua kupumzika na kutulia.

download latest music    

“Suala la kuoa tena ni la Allah, nitamuomba kama akiamua mimi nioe nitaoa, kama pengine amenipunguzia ili nitulie basi nitatulia maana hili jambo linatakiwa subira kwa kila kitu, hutakiwi kukurupuka, nikikurupuka nitajikuta nashindwa mtihani huu ambao Allah amenipa,”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua