Mziwanda Akiri Kuwa Muziki wake Umeuliwa na Mapenzi.

Msanii Nuh mziwanda amefunguka leo alipokuwa akiongea na leo tena ya Couds Fm na kusema kuwa muziki wake kwa sasa umekufa na anakbali kuwa muziki huo kwa sasa umekufa kwa sababu ya  uzembe katika mapenzi.

Nuh mziwanda amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwambaaliwahi kufanya vizuri sana lakini kitu kikubwa anachokiri kuwa kinampoteza katika ulimwengu wa muziki ni baada ya kuoa na kuna misukosuko mingi ilitokea na kufanya kuachana na mke wake ambae alikuwa pia ni mzazi mwenzake.

download latest music    

Nuh anasema kuwa baada ya hayo  yote aliona kabisa jinsi anavyoyumba na kumfanyya kuyumba na ndio maana hata alitoa wimbo wa natapatapa ambao ulikuwa ni storo ya kweli ya maisha yake halisi kwa muda huo.

Nuh aliwahi kuwa katika mahusiano na shiloleh na baadae kuachana na ndipo alipofunga ndoa na mwanamke mwingine ambae walizaa mtoto mmoja na kisha kushi ndwa kukaa pamoja na kuachana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.