Nai Akera Mashabiki kwa Kudanganya Umri Wake.
Mwanadada nai amewaacha midomo wazi baadhi ya mashabiki zake baada ya kusambaa kwa picha katika mitandao ya kjiamii ikumonyesha kiwa anapiga photoshot ya siku ya siku yake ya kuzaliwa ikiwa ni september 23 ambapo mwanadada huyo na picha ya namba hizo zinazoashiria miaka zikiwa haziwaridhishi mashabiki.
Watu wengi wamekuwa wakidanganya sana umri wao hasa mataa wengi wa bongo fleva na bongo movies huku wakidhani kuwa ukweli utaendelea kuwafunika.
Miaka hiyo 15 imewaacha watu hoi kutokana na kila kitu Nai alichowahi kukifanya na hata muonekano wake hauendani kabisa na umri aliamua kutangaza kuwa anao.