Nai Atamgaza Kuanza Kuwapaka Lipstick Wasanii Wa Kiume Bongo.
Mwanadada ambae ni video vixev lakini pia ni mtaalamu wa maswala ya urembo na pia ni mpenzi wa msanii wa rap nchini kutokea Dodoma, Moni centralzone anaejulikana kama Nai ametangaza kuwa kwa sasa anataka ku-deal na muonekano wa wanaume katika video zao hivyoataanza kuwafanyia make-u za kueleweka ili waonekane toafuti.
Akiongea na eNews ya EATV, nai anasema kuwa alijaribu kufanya majaribio kwa msanii Country boy kwa kumpakalispstick inayofanana na aliyopaka yeye na ikamtoa vizuri, hivyo kwa sasa anataka aanze pia kuwapaka wanaume lipstick ili waonekane wa tofauti.
Sasa hivi nimeona bora ni deal na wanaume kwa sababu wengi wao wamekuwa wakitokea katika video zao wakionekana simple sana,yaani yupo natural yeye kama yeye na machunuzi.unajua wakiwa na muonekano wa make-up wanakuwa wazuri, mwanaume akipakwa wanja chini ya macho inamfanya anapendeza zaidi.
Kupaka lispstick ni ubunifu kwa kwakweli na ninataka kuanza kuwabadilisha wasanii wa bongo wa kiume kuwa na muonekanao tofauti