Namjua Stan Kabla ya Moj ;-Mama Gigy Money
Mama mzazi wa msanii Gigy Money amefunguka na kusema kuwa kabla hata hajaanza kumjua moJ ambae ndie inasemekana kuwa baba wa mtoto wa Gigy Money ingawa yeye mwenyewe anakataa na kusema kuwa mtoto huyo sio wa moj na kusema kuwa ni mtoto wa mwanaume mwingine.
Mama yake Gigy Money anasema kuwa kabla hajaletewa kutambulishwa moJ alishawahi kutambulishwa stan na mtoto wake, mimi namjua stan kabla hata ya huyo moJ . moJ mimi nimeenda kumkuta kwa gigy nyumban kuna kipindi mwanangu aliumwa ndio nikamkuta huko.
Mama Gigy Money anasema “kosa kubwa alilowahi kulifanya moj aliwahi kumpiga sana mwanangu na nikampeleka kiyuo cha polisi mabatini lakini after two day nikawakuta wako pamoja sasa ningefanyaje,kwaio hapo kosa likawa la kwangu mimi nimeonekana nina kiherehere kampiga mwanangu kaumia na tayari alikuwa na mimba.Kitu kikubwa ninachoumia kwa moj ni kwamba alikuwa akimpiga sana mwanangu.
Nilimuuliza Gigy hii mimba ya nani akaniambia mama hii mimba ina baba lakini mimi nina mpenda sana moJ , kwaio hata moj anakaa na Gigy lakini anajua mimba sio ya kwake.