Namzia Sana Gabo Kuliko Wasanii Wote:Norah

Msanii mkongwe wa maigizo na filamu nchini mwanadada Norah amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wa kiume anaowakubali sana bongo movies basi Gabo ndio anaongoza wasanii wote.

Pamoja na kwamba kunwa wasaniiwengi wazuri na wakubwa wanaofanya vizuri lakini kwa upande wake anaaanza na gabo kwa sababua amekuwa mpiganaji na anaejiuma asana katika kazi za sanaa na amekuwa makini siku zote akiwa kazini.

download latest music    

Norah ameyasema hayo alipokuwa akiongea na kupiga stori juu ya sanaa na mwandishi wa GPL, norah akusita kumtaja Gabo kama msanii wake wa kwanza kumpedna kwa sababu ya umakini wake.

wapo wasanii wengi wa kiume ninao wakubali lakini Gabo anaongoza list ya wasanii wote wa kiume kwakweli, namzimia sana Gabo.wengine ninaowakubali ni pamoja na JB, Frank mwigongi,chiki mchoma na Dude.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.