Nandy adai wanaume wengi wamekuwa wakihaha kutaka kuonja penzi lake

Image: Nandy

Faustina Charles anaejulikana kama Nandy ni mwanamziki kutoka bongo na ukimuangalia, yeye ni msichana ambaye anawazingua wanaume wengi. Sio kwa rangi yake pekee lakini pia kwa sauti yake ambayo inaweza kumtoa nyoka pangoni.

Akiznungumza na Za Motomoto News, Nandy alikiri kuwa kwa sasa kuna wanaume kadhaa ambao wamekuwa wakimsumbua. Tangua kuachia wimbo na Chege – Nandy anasema kuwa hajapata amani ata hivyo hicho ni kitu ambacho wengi walitarajia kwani ni mrembo kupindukia.

download latest music    
Nandy
Nandy

Hata hivyo Nandy amesema kuwa hana mpango wa kuwataja wanaume hawa lakini wengi wao wanatamani sana kuonja penzi lake. Alisema,

“Usumbufu ni mkubwa mno kwa kweli, lakini siwezi kuwataja majina hata hao vigogo wanaonisumbua, mimi ni msichana ninayejielewa na wanaume wengi wamekuwa wakihaha kutaka kuonja penzi langu, wanagonga mwamba.”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua