Nandy Aelezea Mfumo wa Familia Anayoitamani.
Mwanadada Nandy amefunguka na kusema kuwa anatamani sana kuwa na familia kubwa na nzuri huku akitaja vigezo vyake vya kuwa na familia hiyo kuwa anataka familia inayomcha Mungu sana na yenye watoto watatu na yenye kujituma kutafuta pesa.
Nandy anasema kuwa anatamani sana kuwa na familia ya kumcha Mungu sana, wenye kutafuta pesa na kupata watoto wasiopungua watoto “kila mmoja anatamani kuwa na familia anayoipanga mwenyewe kwa uapnde wangu natamani sana kuwa na familia nitakavyopenda na yenye hofu ya mungu, lakini pia ikipendeza nipate watoto wengi. “
Pamoja na kwamba hajasema ni lini ataingia katika ndoa lakini Nandy anaamini kuwa muda wake utafiki na kuingia katika familia na atatiiza malengo yake.