Nandy Afanya Kufuru Apewa Mtaa Mahali anapokaa.

 

download latest music    

Nandy akiwa na moja ya viongozi wa mtaa huo.

Mwanadada Nandy anaendelea kuonekana mwenye mafanikio hasa baada ya kuonekana sehemu anayokaa kupewa mtaa wenye jina lake na balozi wa mtaa uo.akiwa kama msaani na kioo cha jamii watu wanaokaa katika mtaa huo wamemkubali na kumpenda na kuupa mtaa huo jina lake kama kumbukumbu.

katika video moja iliyoenea mtandaoni nandy alisikika akisema”asante sana balozi wangu kwa kunipa mtaani, ii ni kwa sababu ya kuisi na watu vizuri tangu nimefika hapa mkanikabithi plot na mpka sasa ivi mmeona kuna haja ya mimi kupewa jina la mtaa.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.