Nandy afunguka swala la kuacha muziki.

Moja ya wanamuziki wanafanya vizuri katika anga za bongo fleva Nandy amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba amekuwa akifanya vizuri lakini alishawahi kujiwekea malengo katika hilo kuwa ndani ya miaka mitano basi tayari awe amekwisha fanikisha kila alichokuwa anataka kifanikiwe katika muziki.

Nandy anasema kuwa ndoto yake kubwa akiyonayo maishani ni kiwa mfanya biashara mkubwa sana lakini  haweiz kuacha sasa muziki kwa sababu alishasema atafanya muziki kwa mika ami5 na baada ya hapo ndipo ataendelea na biashara zake.

download latest music    

Mimi ndoto zangu ni kuwa mfanyabiashara mkubwa sana na hata wakati naanza kufanya muziki nilijiwekea malengo baada ya miaka mitano niache muziki na niendeleze biashara zangu na mpaka sasa nimeitumia miaka miwili (2016 na 2017) na mwaka 2020 ndiyo nitaacha muziki, Na sio kwamba nitakuwa sitoi ngoma hapana nitakuwa natoa sema kwa mwaka hata mara moja ha show naweza kuwa nafanya mara moja kwa mwaka ili nipate muda mzuri wa kusimamia biashara zangu” Ameyasema Hayo Nandy kuhusu kuachana na Muziki

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.