Nandy Akana Kuvujisha Video Yake Ya Ngono

Mwanamuziki wa Bongo fleva Nandy amekana kabisa taarifa zilizoenea kuwa yeye mwenyewe kwa mkono wake ndiye aliyesambaza video yake ya ngono na Billnas kisa kiki.

Wiki chache zilizopita Nandy na Billnas wali trend vibaya mno baada ya kuonekana kwenye video iliyovuja Mtandaoni wakiwa kitandani wakifanya mambo yao.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya leo na kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Nandy amekanusha kuwa video yake na Billnas haikuwa mpango wa kiki kama  wengi wanavyodhani na taarifa za kusambaa kwa video hiyo zilimuathiri kiafya kiasi cha kupoteza fahamu mpaka kukimbizwa hospitalini.

Ile video haikuwa kiki na wala sonata tabia ya kufanya kiki, wakati video inasambaa milioni huwa simu na meneja wangu kuniuliza na kiukweli baada ya kuiona ile video nilihisi sio mimi niliishiwa nguvu na uongozi wangu unasema niliishiwa fahamu kwa masaa kadhaa”.

Tangu video hiyo itokee nandy amekiri kuwa katika wakati mgumu kwani ni siku chache zilizopita kuna video iliyo trend ikimuonyesha akiangua kilio stejini hadi kushindwa kupiga shoo na meneja kumtoa stejini.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.