Nandy Amtupia Lawana Billnass, Ni Baada ya Video Yao Chafu Kuvuja.

Mwanadada Nandy amemtupia lawama mpenzi wake Billnass kwa kuvuja kwa video chafu iliyokuwa ikiwaonyesha wakiwa pamoja faragha, na kuwaomba radhi mashabiki na watu wote waliopatwa na mshtuko kuhusu video hiyo ambayo imesambaa sana ktika mitandao ya kijamii.

Nandy amekubali kuwa ni kweli video hiyo iliuwa ni ya kwake na aliyewahi kuwa mpenzi wake Billnass na waliipiga mwaka 2016 kipindi wapo katika mahusiano lakini anashangaa kuona video hiyo ikiwa imevuja kwa sababu walikubaliana hata mahusiano yao yawe ya siri.

download latest music    

nilikuwa na mahusino na Bilnass 2016, nilikuwa na mahusiano na billnass na tulikubaliana kuwa mahusiano yetu yawe ya siri, sasa silewei kwa sababu gani kaamua kuvujisha ,nimesikitishwa sana , ni video ambayo ilikuwa imeshutiwa kwa snapchat.sasa silewei aliipataje hiyo video kwa sababu mpaka aipate ni mpaka nimrushie kutoka kwangu.Naomba radhi sana familia yangu, kanisani kwangu , mashabiki na serikali yangu kwakweli video imenichefua sana mpaka hapa ninapoongea nimechefuka sana, ila adhabu ya maumivu ninayoyapata  ni kutokana na kumuamini sana mwenzangu.-Aliongea nady alipokuwa akihojiwa na MCL digital.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.