Nandy Aomba Radhi Mashabiki na Jamii Nzima kwa Ujumla.
Mwanadada nandy kupitia ukurasa wake wa instagram amekubali kosa na kuwaomba msamaha watu wote walioiona na kuguswana hata kuharibu mahusiano yake na mashabiki.
Nandy ameomba msamaha baada ya kuvuja kwa video ilikuwa ukimuonyesha billnass na nandy wakiwa chumbani kitandani huku wakiwa katika hali ya kimahaba na kuvujisha siri waliokuwa wakiificha kwa muda mrefu kuwa wako katika mahusiano ya kimapenzi.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaomba radhi sana sana ndugu zangu,familia yangu na rafiki zangu wote kwa kile kilichotokea,bado siki sawa naomba mniombee uzima.
Nandy na Billnass hawatokuwa wasanii wa kwanza Tanzania kuwa na skendo chafu ya ngono kwa kutupia picha hizo katika mitandao ingawa kila mmoja anakataa kukubali kosa la kuwa ndio chanzo cha video hiyo kuenea katika mtrandao.