Nandy Aweka Sanaa Pembeni Baada ya Skendo Yake

Mwanamuziki wa bongo fleva kutoka Nyumba ya vipaji (THT) Nandy amejikuta katika wakati mgumu baada ya video yake ya ngono na msanii mwenzake Billnas kuvuja siku ya jana Nandy bado yupo katika wakati mgumu.

Tangu video hiyo ivuje  siku ya jana Nandy ameweka wazi hisia zake na amesema mara kwa mara kuwa hayupo vizuri na yupo katika wakati mgumu huku akielezea kuwa amelia sana na anaendelea kuomba radhi.

download latest music    

Mchana huu Nandy ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwagombanisha radhi Tena mashabiki zake familia na hata BASATA na serikali Lakini pia ameweka wazi kuwa anaweka sanaa kando kwa sasa mpaka atakapokuwa vizuri.

[ajax_load_more]

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.