Nandy , Hamisa Jukwaa Moja na Davido Sikukuu Hii.
Kwa mara ya kwanza wanadada wawil Nandy naRuby wamepangwa kuwa katika jukwaa moja la sikukuu ya Eid, mabapo kutakuwa na msanii mkubwa kutoka Nigeria anaefanya vizuri ndani na nje nchi yake na Dunia nzima kwa ujumla.
Wadada hao ambao waliwahi kusemekana kuwa wana bifu na kuoneana wivu muda mwingi kutokana na ukweli kuwa wote wana sauti na vipaji vikubwa wanatarajiwa kuwa konga nyoyo za mashabiki na kwa mara ya kwanza watawathibitishia mashabiki kuwa wapo vizuri.