Nandy Kumuanika Aliyevujisha Video Yake na Billnass.

Kwa muda sasa tangu kulipotokea sakata la video liyokuwa ikimuonyesha Nandy na mpezi wake Billnass wakiwa faragha ambapo baada ya kuvuja na kusambaa sana, mwanadada huyo alionekana kuathirika sana lakini mambo yalikuja kuwa sawa kutokana na kuwaomba msamaha mashabiki na kupewa onyo na TCRA NA BASATA pia,

Sasa mwanadada huyo baada ya ukimya mrefu ameibuka na kusema kuwa muda wote huo alikuwa kimya kutafuata ni anni aliyafeanya kazi ya kusambaa video hiyo aktika mitandao na amefanikiwa kufanya hivuo.

download latest music    

Nandy anasema kuwa sasa hivi atakuwa na amani kwa sababu anataka kurudisha pia heshima yake kwa mashabiki aliokuwa nao kwa sababu kitendo kile kilimuahribia sifa yake kwa mashabiki wake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.