Naogopa Kwenda Wasafi ni Ma-freemasons-G.Bway

Msanii G-bway kutoka arusha amefunguka na kudai kuwa hata siku moja hawezi kufikiria kwenda katika level ya wasafi kwa sababu hawaelewi wasanii wa kundi hilo hata bosi wake akiaamini kuwa wanajishirikisha na mambo ya kishirikina.

G-bway ambae kwa sasa hana uongozi wowote zaidi ya kusaidiwa katika kazi zake za muziki na afisa wa utamaduni mkoa wa arusha anaejulikana kama meneja maneno anasema kuwa anajua kuwa kuna manejement nyingi lakini hawezi kwenda wasafi kwa sababu wapo kama ma-freemasons.

download latest music    

kwa wasafi naogopa kwenda kwa sababu wasafi mi naona kama ma-freemasons vile,ukangalia hata style zao wanazokaa, jinsi wanavyovaa kwa mfano ukiangalia kamabraza mond , yule braza ni muislamu lakini ukimuangalia muda mwingine unaona kavaa msalaba.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.