“Napatana na Zari aliyeniletea watoto hao wengine siwajui” Mamake Diamond amkana Hamisa Mobeto

Kulingana na umbeya mitaani, Diamond Platnumz amempa mimba Hamisa Mobeto – mrembo yule aliyekuwa kwa video ya ‘Salome’.

Mbeya Soudy Brown alimpigia simu mamake Diamond Sanura ‘Sandra’ Kasim kudhibitisha kama ni ukweli kuwa Hamisa Mobeto amebeba mtoto wa Diamond tumboni.

download latest music    
Hamisa Mobeto na Diamond

La kushangaza ni kuwa Sandra alimkana Hamisa Mobeto licha ya mrembo huyo kuonesha ukaribu zaidi na familia ya Diamond. Hamisa aliwai zua utata alipoonekana na mamake Diamond kwa picha.

Mamake Diamond aliambia Soudy Brown kuwa yeye anapatana tu na Zari ambaye amemletea wajukuu wala hana lolote na warembo wengi wote wanaohusishwa na Diamond.

Skila mahojiano kati ya Soudy Brown na mamake Diamond hapo chini:

https://www.youtube.com/watch?v=jnG2h6EG32E

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere