Nashindwa Kuacha Muziki Upo Kwenye Damu.

Msanii mkongwe wa muziki wa bongo fleva FEROOZ  amefunguka na kusema kuwa anatamani sana kuacha muziki lakini anashindwa kwa sababu muziki kwa sababu upo kwenye damu.Ferooz anasema hayo na kusema kwamba uamuzi huo aliamua kuuchukua kwa sababu anaona kuwa anaonekana kama sio kitu wakati yeye ameotoa muziki mbali.

Kikubwa ninachokiangalia sana ni wapi nilipotoka na muziki huu nilipotoka mpka hapa nilipofika halafu bado naonekana kama mimi ndio nimekosea,game limenisahau kwa kifupi, lakini pia mpaka nafikiria ku-quit muziki najikuta niache muziki lakini nawaza niktangaza kuacha muziki siwezi maana muzii upo kwenye damu.

download latest music    

Lakini pia Ferooz ansema kuwa pamoja na hayo yote lakini pia amekuwa akifanya mambo mengi lakini mwisho wa siku ninajikuta ninarudi kwenye muziki.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.