Nataka Kuleta Heshima ya Bongo movie- Duma

Muigizaji wa Bongo movie Duma amefunguka na kusema anataka kurudisha heshima ya Bongo movie baada ya kupotea kwenye ramani.

Miaka Kama mitano nyuma Bongo movie ilikuwa mbali tofauti na ilipofikia Leo kwani hivi sasa no Kama imeshakufa kabisa hii yote ikisababishw na kukosekana kwa ubunifu.

download latest music    

Lakini mkali wa Bongo movie Duma amesema anataka kuketa heshima tena katika Bongo movie na ndiondio maana ameamua kmleta muigizaji John K kutoka Australia ambaye alikulia Tanzania na mwenye asili ya Burundi wafanye naye filamu hapa nchini.

Kwenye mahojiano na Enews ya East Africa Tv , Duma aamefungua haya kuhusu kuleta heshima kwenye tasnia hii ya Bongo movie.

Kwanza naomba Watanzania watusapoti Sana kwani tunataka kuleta heshima ya Bongo movie, nimemleta John K na tunarudisha heshima ya filamu Tanzania na kuonyesha jinsi gani Duma anapambana kwa ajili ya tasnia hii na sio ya mtu mmija mmoja so Mimi napambana kwa ajiki ya industry nzima na sina matatizo na mtu”.

Duma amesisituza anaamini yeye na John K watafanya vizuri kwa sababu John K ni staa anayefanya vizuri katika filamu nchini Australia.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.