Nay Wa Mitego Arusha Dongo Baada Ya Listi Za Wasanii Watakaoperfom Kuwekwa Wazi

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa mitindo yake ya kuchana Emmanuel Elibariki maarufu Kama Ney Wa Mitego ameibuka na kutoa Povu zito Baada ya listi za wasanii watakaoperfom kuachiwa.

Wikiendi ijayo itakuwa na burudani kila kona kwani maya maisha kadhaa yatafanyika katika Mikva tofauti tofauti.

download latest music    

Matamasha hayo moja linaitwa Fiesta ambalo litafanykia hapa Dar Es Salaam, lingine ni Wasafi Festival litakalofanyika Mtwara na la mwisho ni lile litakalofanyika Kahama ambapo Alikiba ataenda kuperform na kundi lake la Kingsmusic.

Ney wa Mitego  amefunguka na kusema haya:

Mmh Nasubiri Kuona List Ikiendelea But Mmh. Awa Mbona Hawana Maajabu.?! Waimba Bure Wote Ninao Waona Apa?? Hawapatagi Show Ata Za Bure Awa. Oyaa Nataka Kuona List Ya Wasanii Heavy Sio Awa Wasio Julikana Ata Makwao Kama Wanaimba?? Msiniangushe Wazeeeeeeeee.! …….
#Tar24. Wanangu Wa Dar Hakikisheni Mnaenda #Leader‘s Kwa Wingiii. Wanangu Wa Mtwara Hakikisheni Mnajaa Pale #Nangwanda. Na Machizi Wangu Wa #Kahama Inabidi Mkajae Pale #UwanjaWaTaifa.
Mkifika Sehemu Zote Wapeni Salamu Zangu #HakunaMaishaMagumu“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.