Nay wa Mitego Atupa Jiwe Gizani,
Kutokana na vurugu za matamasha zinazoendelea wikiendhi hii katika mikoa mbalimbali ikiwepo wasafi testval, fiesta pamoja na ile show ya Alikiba huko Kahama , msanii ney wa itego atoa kijembe na yake ya moyoni kuhusu matamasha hayo huku akisema kuwa wapo wanaoimba bure watachukuliwa kwa sababu tu huwa hawapati show.
Katika ukurasa wake huo , msanii huyo aliweka picha yake kama anaangalia simu huku akisema kuwa katika matamasha hayo anawaju wale wote ambao wapo kwa ajili ya kupata show hizo kwa sababu hawapatagi show za kulipwa.
Nay aliandika “nasubiri kuona list ikiendelea ..mmhhh mbona naona hawa hawana maajabu , waimba bure wote ninawaona hapa , hawapatagi hata show za bure hawa , nataka kuona wasanii heavy sio hawa wasiojulikana hata makwao hawa kama wanaimba, msiniangushe wazeeeee
Wanangu wa Dar hakikishe mnajaa pale leaders , na wale wa Mtwara hakikisheni mnafika pale nangwanda na nyie wa Kahama inabidi mkjae pale uwanja wa taifa.