Nay wa Mitego Kugombea Ubunge 2020

Msanii Nay wa mitego amefunguk akushusu tetesi zake za kutaka kugombea ubunge mwaka 2020  kama amabvyo taaarifa hzio zimekuwa zikisamba katika mitandao ya kijamii kisa kuwa karibu na watu wake mitaani, huku baadhi ya watu wakisema kuwa kufanya  hivyo ni kujiwekakaribu na wananchi ilikuweka ku-win  mwaka 2020.

Hata hivyo nay wa mitego amefunguka na kukataa swala hilo huku akisema kuwa hawezi kufanya hivyo kwa sababu anaona kabisa kuwa yeye hawezi siasa ya tanzania.

download latest music    

Nay wa Mitego anasema kuwa kugombea ubunge hatoweza kwa sababu siasa ya tanzania imejaa uongo mwingi sana na hana haja ya kukaa na kudanganya wananchi wake pia.

Hata hivyo nay wa mitego ambae aliwahi kusimama jukwaani miaka iliyopita kunadi wagombea upande wa upinzani anasema kuwa amekuwa nandoto ya kuwa rais lakini rais asiyekuwa na mambo mengi zaidi ya kufanya vitendo tu na kunyoosha mambo kama anavyofanya sasa katika sanaa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.