Ndani ya siku 14, Diva Atakiwa Kulipa Faini ya Mil.50 kwa Michael Lukindo

Msanii na mtangazaji wa Clouds Dadio, Diva Giselle ametakiwa kulipa fidia ya shilingili milion 50 kwa msanii na aiyewahi kuwa msanii mwenzie Michael Lukindo baada ya kumtukana matusi makubwa katika mtandao wa kijamii wa instagram.

Diva amepewa agizo hilo na kampuni ya wanasheria ya East Wood Attonery kwamba anatakiwa akamilishe jukumu hilo ndani ya siku 14 baada ya hapo hatu akali za kisheria zinaweza kufanyika.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa , wiki iliyopita, michael lukindo alipokuwa akitambulisha wimbo wake mpya , alifanyiwa mahojiano ambapo alikiri kuwa alikuwa na mahusiano na Diva lakini Diva alitaka mahussiano hayo yawe ya siri na kweli waliamau kufanya hivyo,

Baada ya maohojiano hayo,  Diva aliamua kufunguka katika mtandao wa instagram na kutukana sana huku akikanusha taarifa za kuwa na mahusiano na mwanadada huyo hivyo baada ya matusi hayo, Michael Lukindo aliamua kupeleka mashtaka yake kwa mwanasheria kutokana na kutukanwa katika mtandao kwa kitu amabcho ni cha kweli na amekuwa na ushaidi nacho.

Kwa mujibu wa Diva, Michael ametangaza kuwa na mahusiano nae wakati sio kweli hivyo kwake ilikuwa imemkera.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.