Ndoa ya Wolper Kugharimu Mil.60

Harusi ya staa mkubwa bongo Jackline Wolper inayotegemewa kufanyika siku yoyote hivi karibuni inategemewa kufanyika na kugharimu zaidi ya millioni 60 huku ikisemekana kuwa itakuwa ndoa kubwa ya aina yake itakayofanyika kwa mbwembwe nyingi sana.

Wolper ambae anasema kuwa harusi hiyo itakayofanyika nchini Tanzania na kisha kuhamia Marekani itakuwa ya kuacha historia kubwa sana bongo na sehemu nyinginezo na hata watakapokwenda Marekani haitakuwa ya watu wengi zaidi ya kumchukua rafiki yake wa karibu Aunty Ezekiel.

download latest music    

Milioni kama 60 zitztumika mbapo milioni 50 zitzfanyika kwa ajili ya harusi ya hapa bongo,na nyingine kama 10 kwa ajili ya kule marekani kwa sababu kule hakutakuwa na watu wengi.wasanii ambao nitaenda nao kule watakuwa kama wanne tu,mmoja kati ayo atakuwa ni aunty ezekiel  kwa sababu huwa ananipa sapoti sana katika biashara zangu , hivyo huyo siwezi kumuacha  kabisa. -Alisema wolper alipokuwa akiongea na moja ya waandishi wa gazeti wa kampuni la GPL

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.