Ndoa ya Zabibu Kiba na Abdul Banda Yanukia
Ndoa ya dada wa mastaa wawili bongo Abduli Kiba na Alikiba anaejulikana kama Zabibu Kiba imeanza kunukia huku tetesi zikidai kuwa wawili hao wanategema kufunga ndoa mwezi august mwaka huu.
Katika kitandao ya kijamii hasa katika kurasa zao za instagram za wawili hao kumekuwa na maoni mengi sana kutoka kwa mashabiki zao huku wengi wao wakisema kuwa wamechoka kusubiri tarehe yao ya ndoa ifike ili wawaone wawili hao wakiwa pamoja.
Hata hivyo aktika ukrasa wake wa instagram, Banda aliandika maamuzi sahihi, ‘Get ready its AUGUST..Unapenda tarehe gani ‘na kuzua gumzo katika ukurasa huo huko mashabiki zao wakiona kuwa mwezi huo haufiki haraka ili kushguhudia swala hilo.