Ndoa ya Zabibu Kiba na Abdul Banda Yanukia

Ndoa ya dada wa mastaa wawili bongo Abduli Kiba na Alikiba anaejulikana kama Zabibu Kiba imeanza kunukia huku tetesi zikidai kuwa wawili hao wanategema kufunga ndoa mwezi august mwaka huu.

Katika kitandao ya kijamii hasa katika kurasa zao za instagram za wawili hao  kumekuwa na maoni mengi sana kutoka kwa mashabiki zao huku wengi wao wakisema kuwa wamechoka kusubiri tarehe yao ya ndoa ifike ili wawaone wawili hao wakiwa pamoja.

download latest music    

Hata hivyo aktika ukrasa wake wa instagram, Banda aliandika maamuzi sahihi, ‘Get ready its AUGUST..Unapenda tarehe gani ‘na kuzua gumzo katika ukurasa huo huko mashabiki zao wakiona kuwa mwezi huo haufiki haraka ili kushguhudia swala hilo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.