Ndoto Yangu ni Kutoka na Rais :-Wolper

Mwanadada wolper amefunguka na kusema kuwa amekuwa na ndoto ya kutoka kimapenzi na moja ya maraisi wa afrika kwa sababu anaamini kuwa hao watakuwa wakimuheshimu kama mwanamke mwenye hadhi yake lakini sio hawa wanaume wa kawaida.

Wolper anamini kuwa kutoka kimapenzi  na rais haitampa maumivu ya kutendwa kama ambavyo amekuwa akitendwa na wanaume wengine ambao kwanza hawajui thamani yake katika mapenzi.

download latest music    

Unajua ndoto yangu ni kutoa penzi langu kwa raisi yoyote Africa maana najua hao kwanza  atakuwa ananiheshimu sana  kutenda kama wanavyofanya wengine haitakuwa raisi, na hapo nitatulia kabisa wala sitatafuta wanaume waigizaji.

Wolper ambae amekuwa akiumizwa na mapenzi mara nyingi anasema kuwa kwa sasa anaamini kuwa hiyo ndio njia itakayo mpa amanai na wala sio vinginevyo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.