Ndugu wa Peter Wamshukuru Muna Kukubali Suluhisho la Mazishi.

Baada ya mgogoro wa muda mrefu na baadae kufikia muafaka wa sehemu ya kuzika na wapi mait ya mtoto itafikia, ndugu wa baba mzazi wa mtoto patrick wamefunguka na kumshuru sana muna kwa uamuzi wake aliofkia wa kukubali kila kitu kiende sawa ili kumpumzisha mtoto  huyo.

Muna ambae hapo awali alisema kuwa patrick sio mtoto wa Peter bali ni mtoto wa Casto alikataa maiti ya mtoto huyo kufikia kwa Peter mwananyamal na kutaka ifikie nyumbani kwake mbezi lakini baada ya kufanbya maongezi ya muda mrefu huku steve nyerer akishughulika na hilo muna alikubali kila kitu,

download latest music    

akiongea na waandishi, Bazo Peter, mdogo wake na Peter amefunguka na kumshukuru Muna kwa uamuzi huo na kumtia moyo pia “tunamshukuru sana Muna love kwa kuwa na utu na hali ya uelewa  bada ya kuonea nae kupitiamarafiki zake wa karibu na ndipo alipotuelewa na sasa tuna amani kabisa.

patrick atafikishwa Dar Es Salaam siku ya ijumaa na kupelekwa mochwari ya mwananyamala ambapo siku ya jumamosi wataaga mwili huo Leaders club na baada ya hapo wataenda kuzika katika makaburi ya Kinondoni.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.