Nedy Music Anyakua Tuzo za Afrimma Nchini Ghana

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya ‘Pozi kwa Pozi Entertainment Nedy Music ametangaza rasmi kupokea tuzo ya Afrimma siku ya jana.

Nedy Music,  alishinda  tuzo ya All Africa Music Awards 2018 (AFRIMA) usiku wa kuamkia leo Novemba 25, 2018 nchini Ghana kipengele cha African Fans Favourite.

download latest music    

Asante Kwa Wote Mnaonipa pongezi Natamani kujibu hata mmoja mmoja kwa furaha??Hii Ni Tuzo Yetu Wote?Thanks once again kwa upendo na Sapoti yenu?? Kubwa Mnoooo #MPEMBAMMOJATU”.

Haya ni baadhi  ya Majina ya wasani mbali mbali walionyakua tuzo hizo za Afrimma 2018:

Album of the Year
Betty G – Wegegta (Ethiopia)

 

Best Artiste, Duo or Group in African Contemporary
Kidi (Ghana) – ‘Odo’ remix ft Mayorkun, Davido

 

Best Artiste, Duo or Group in African Hip Hop
M.anifest (Ghana) – Me Ne Woa ft King Promise

 

Best Artiste, Duo or Group in African Pop
2baba (Nigeria) – ‘Amaka’ ft Peruzzi

 

Best Artiste, Duo or Group in African Dance or Choreography
Mr P (Nigeria) – Ebeano

 

Best Artiste, Duo or Group in African Ragga, Reggae or Dancehall
Stonebwoy (Ghana)

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.