Ni bora Nikose Vyote Lakini Sio Wewe Mwanangu’ Rayvanny kwa mwanaye JayDanny

Msanii Rayvanny ambaye sasa ni baba,amemwandikia ujumbe mwanaye JayDanny.

Kupitia Instagram yake Ray anasema,’Mungu Akukukuze Mwanangu, Katika Mema na Mafanikio Katika Maisha Yako.Wewe Nifuraha Yangu Na pia Wewe Ndio sababu Ya Mimi kumwaga Jasho Nakufanya Kazi kwa Bidii Kila Siku. Ni bora Nikose Vyote Lakini Sio Wewe Mwanangu. I LOVE YOU SON @jaydanvanny ‘

download latest music    

Wakati huo huo mtoto Jay amekaribishwa rasmi kwenye Kundi la Wasafi na Diamond Platnumz,’Nikubalieni kumtambulisha rasmi star wetu mpya JayDanny,Mwana wa Ray Vanny. Karibu ulimwenguni!’

 

 

‘Allow me to introduce to you our brand new @wcb_wasafi Mega Star! JayDanny!!!! Mwana wa RayVanny!!!!! Welcome to the World Prince!! @jaydanvanny Cc @rayvanny ameandika Diamond.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua