Ni kweli kuwa aliyekuwa mpenzi wa Zari, Ivan Don alitiliwa sumu kwenye chakula?

Fununu mitandaoni inadai kuwa Marehemu Ivan Don alifariki baada ya kutiliwa sumu chakulani chake pale ambapo alikuwa akikula na marafiki wake wa Karibu.

Ripoti hizi zilisambazwa na gazeti moja la Uganda liloandika kudai kuwa kuna ushahidi wa maneno haya. Hata hivyo kulingana na tulichoambiwa na familia yake ni kuwa Ivan Don alifariki baada ya viungo vyake vya mwili vilipoanza kufaili kwa kuwa alikuwa anapumua kupitia usaidizi wa machine.

download latest music    

Familia yake imenyamaza na hakuna aliyechangia kwenye ripoti za Ivan Don kupewa sumu na adui yake ambaye ni mmoja wa marafiki wake wa karibu.

Gazeti hilo liliandika kusema,

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua