Ni kweli kuwa Hamisa Mobeto ameinunua rangi yake? (Picha)

Iwapo hauna habari kuwa Hamisa Mobeto ni mmoja wa warembo ambao wanawafanya wengi wakose usingizi, basi sasa hivi umejua. Mrembo huyu kutoka bongo ni model na video vixen ambaye amefanya kazi na wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz na hivi sasa hakuna anayefikia urembo wake.

Hata hivyo kuna wengi ambao wanadai kuwa rangi yake ya mwili ni ya kununua kwani hakuzaliwa akiwa mweupe. Tetesi hizi zimeambatanishwa na picha zake za kitambo kabla ya ‘filters’ kutokea.

download latest music    

Iwapo tetesi hizi zina ukweli, basi kunauwezekano kwamba Hamisa Mobeto amekuwa akizitumia tembe au mafuta ya kugeuza rangi kuwa nyeupe.

Warembo wengi kwa sasa watumia vitu vingi ilikujibadilisha hata baada ya kujua madhara yao. Kwa sasa hatuna uhakika kwamba Hamisa ni mmoja wa watumizi wa tembe hizi.

Tazama picha hizi mbili za mobeto.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua