Ni kweli kuwa Vanessa Mdee na Juma Jux sababu ya Jacqueline Patrick?

Image: Jux-na-Vanessa-Mdee

Kuna fununu kuwa Vanessa Mdee na Juma Jux waliachana kutokana na sababu zisijojulikana! Hata hivyo kulingana na Ubuyu wa global publishers, kunauwezekano kuwa wawili hawa waliachana kwa sababu ya aliyekuwa mpenzi wa Juma Jux wa zamani, Jacqueline Patrick ‘Jack’.

Juma Jux na aliyekuwa mpenzi wake, Jacqueline Patrick ‘Jack’.

Jacqueline Patrick ambaye anatarajiwa kuachiliwa kutoka sasa za gereza nchini China, amesemekana kuwa yeye ndiye chanzo cha wawili hawa kuachana. Kulingana na habari mitandaoni, jack anatarajiwa kuachiliwa mwezi huu na ndio maana Jux yuko China akimgonja mrembo aliyetiwa ndani baada ya kupatwa akisafirisha madawa ya kulevya China.

download latest music    

Chanzo cha maneno haya kiliwambia Global publishers Kuwa;

“Unajua Jack anatarajiwa kutoka gerezani ndani ya mwezi huu na ikumbukwe wakati anafungwa alikuwa bado kwenye uhusiano wa kimapenzi na Jux hivyo ndiyo maana mapenzi ya Jux na Vanessa yamekwisha. Kwa sasa Jux yupo nchini China na inasemekana atarudi na Jack kwani inadaiwa ameenda huko kwa ajili ya shughuli zake binafsi lakini pia anamsubiria Jack atoke lupango na wataendelea na mapenzi yao kama zamani,”

Hata hivyo Juma Jux alikataa kudhibitisha ikiwa habari hizi ni za kweli.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua