Nikki Wa Pili Amvisha Pete Ya Uchumba Mpenzi Wake

Msanii wa muziki wa hip hop nchini kutoka katika kundi la Weusi Nikki wa pili amemvalisha pete ya uchumba Mpenzi Wake wa siku nyingi anayejulikana kwa jina la Joan.

Bongo 5 wanaripoti kuwa Tukio  hilo lilitokea siku ya Jumamosi mkoani Arusha nyumbani kwa msanii huyo ambapo rasmi aliaga ukapera.

download latest music    

Shughuli hiyo ilihudhuriwa na wasanii wenzake Kama vile Kama yake Joh Makini, Dogo Janja, Lord Eyes na Juma Jux.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nikki wa pili alimuweka Mpenzi Wake huyo na kumsindikiza kwa maneno matamu na kuandika:

Queen, malkia, mwenye moyo wangu…….nuru ya uzuri wako imulike njia ya maisha yetu…..Nakupendaaaa sanaaaaaaaaa #sikuyetu ahadi ya kwanza nimetimiza”.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.