Nikki Wa Pili Atangaza Ndoto Yake ya kuwa Raisi, Wasanii Wamsapoti.

Akiwa kama moja ya wasanii wanaojitahidi sana kutoa maneno yenye kuhamasisha katika jamii,nikki wa pili kwa mara ya kwanza ameweka wazi kuwa ndoto yake kubwa  ni kuwa rais, ingawa msanii huyo kwa sasa hajaweka wazi kuwa yeye ni mfuasi wa chama gani lakini amekuwa akihamasiha sana vijana kupitia mitandao ya kijamii.

katika ukurasa wake wa  twitter, Niki wa Pili aliandika”Ndoto yangu ni kuja kuwa Rais

Hata baada ya kuweka tweet hiyo , baadhi ya wasanii walionekana kumsapoti msanii huyo kwa kumpongeza kwa kuwa na ndoto hiyo huku wakimtaka asikate tamaa,mmoja kati ya wasanii hao ni Dogo Janja ambae aliandika

download latest music    

ndoto yako ipalilie tu ndugu yangu, anayeona haliwezekani hilo ni tatizo lake sio kwako, husda ni tunu ya Taifa, isikusumbue fanya mambo yako #Nikiwapiliforthepresidency

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.