Nikki wa Pili Atupa Dongo kwa Babu Tale, ni Baada ya Kwenda South kwa Zari
Msanii wa Hip-Hop nchini, Nikki wa Pili amemtupia dongo Babu Tale baada ya babu tale kwenda afrika ya kusini na kurudi huku akitangaza kuwa lengo lake ku ilikuwa ni kwenda kumbebeleza zari ambae ni zazi mwenzie na diamond ili kurudiana na diamond.
Akiandika katika ukurasa wake wa instagram, Nikki wa Pili alisema kuwa kazi ya babu tale kutumwa haijaanza leo ameanza kutumwa tangu akiwa kijana enzi hizo anatumwa na kaka yake ku-burn CD na sasa hivi anatumwa na Diamond kubembeleza ndoa.
babu tale alikuwa akitumwa empty CDs na majani pale bongo records ili ku-burn CD s za wasanii wa kaka yake,siku hizi natumwa akabembeleze ndoa SAUZI…. kweli swala la uadilifu katika utumishi linaendelea.