Nikki wa Pili Sisi Tunamuona Kama Upcoming Artstist:-Joh Makini

Msanii wa hip-hop nchini joh makini amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba ameimba wimbo ambao unawataka watu wajitaidi kwenda kanisani lakini bado hata yeye hakumbuki mara ya mwisho kwenda kanisani.

Akiongea na Wasafi Tv, Joh makini anakanusha pia taarifa za kuwa wasanii wa arusha wamekuwa wakibebwa na media na ndio maana wamekuwa wakisikika sana na kuonekana kuwa wao wanamafanikio kuliko wasanii wengine huku akisema kuwa hata mdogo wake Nikki wa pili sio msanii mkubwa kama watu wanaovyoona lakini ni msanii chipukizi.

download latest music    

Siamini kama kuna sehemu  wasanii wa arusha wanakosea , mimi huwa ninaamini katika nyakati tu na pia hata ukiangalia watu kama kina Motra Future,  mabao mimi ninawaona mbali, lakini pia kuna Nikki wa pili ambae pia tunaweza sema kuwa ni msanii mkubwa lakini kwa age yetu sisi wakina Joh Makini, Lord Eyes tunaona kuwa bado ni msanii chipukizi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.