Niko Bize Nafanya Maandalizi ya Kumpokea Wifi Yangu ;Esma
Dada wa staa maarufu bongo na nje ya bongo amefunguka na kusema kuwwa mwezi huu wote wa ramadhani yuko busy kufanya maandalizi ya kumpokea wifi yake zari kutoka Afrika ya Kusini.Esma anasema kuwa hawezi kuelezea furaha aliyonayo moyoni mwake kila anapofikiria kuwa wifi yake mpendwa anarudi nyumbani.
Ikumbukwe kuwa Zari alikuwa Afrika ya Kusini kwa muda mrefu na hata alipokuwa akija Tanzania alikuwa afikii kwa ndugu wa Diamond kwa sababu wawili hao hawakuwa na maelewano.
yaani sijui nisemeje lakini madale, tandare kote anasubiriwa ndege tausi atue hapo,nikop bize mimi kumsubiriwifi yangu maana sio kwa kummisi huko nilikommisi.yaan natamanai sana sikukuu ya eid tukale wote