Nilimjua Mke Wangu Tangu Akiwa Mdogo.-AY

Msanii wa muziki wa hip-hop ambwene yesaya maarufu kama AY, kwa mara ya  kwanza tangu kufunga ndoa amefunga ndoa na kuamua kushare na mashabiki wak maisha yake ya ndoa na ni vipi aliweza kukutana na mke wake ambae kwa sasa wanaishi pamoja.

AY anasema kuwa ameonana na mpenzi wake huyo kwa muda mrefu sana lakini kila kitu kinakuwa na muda wake na mud ukifika hakuna kinachoweza kuzuia watu kuwa pamoja kinachotakiwa kufanyika ni kuzungatia malengo tu,

download latest music    

AY anasema kuwa alimjua mke wake tangu akiwa mdogo lakini aliamuacha kwanza amalize shule na kutimiza malengo yake kwa sababu asingeweza kumuoa kama alikuwa bado mdogo hivyo ilibidi amsuburi.

Tulionana nikiwa Rwanda 2008, kwaio ni zamani kidogo kama miaka 9 hivi, na nilijua kuwa ni ke wangu ilitokea tu autoamticalyy unajikuta unafeel tu.Nilimjua tangu akiwa mdogo sana ila niliona nimwache kwanza asome nsipo niliposubiri hivyo kikubwa ni uvumilivu.Alikuwa mdogo sana hivyo nilimwacha kwanza atimize malengo yake.

AY alipoulizwa kuhusu mabadiliko aliyoyapata baada ya kufunga ndoa AY alisema kuwa yeye alikuwa tayari alishajianda kuishi maisha hayo tangu mwaka mmoja nyuma

mwaka mmoja nyuma nilikuwa yatari nilishaanza kujipanga kufunga ndoa hivyo nilianza kujiandaa kisaikolojia kwaio pamoja na kwamba nilebadilika lakisi sio asana ingawa hata maamuzi na jinsi ya kufikiri pia huwa inabadilika

Hata hvyo sio kila mmoja aliweza kufikiria kama AY angeweza kufunga ndoa na hivyo watu wengi walikuwa wakishangaa baada ya mamuzi yake na AY analiongelea hilo.

Mapenzi yapo kila sehemu , ukiwaona hata hao wakina Fid Q wanajifanya ma-hardcore lakini wanalegeaga sana tu hao , ila unapaswa kujua tu kwamba kila mtu ana mtu wake.-Alisema AY alipokwa akifanya mahojiano na Shadee wa Clouds E

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.