Nilipoachana na Sugu Niliogopa Kudhalilika :-Faiza Ally

Mwanadada Faiza Ally anafunmguka na kuongelea ugumu alioupata hasa baada ya kuchana na mwanaume aliwahi kuwa nae katika mahusiano na kuweza kupata nae mtoto wake kwa kwanza wa kike.

Faiza anasema kuwa mara alipoanza kugombana na sugu ambae ni mbunge wa mbeya mjini anasema kuwa ilimfanya kuwa katika wakati mgumu kwa sababu aliona kuwa akiachana nae basi atarudi katika maisha magumu tena watu watamcheka sana.

download latest music    

Faiza ambae anakiri kuumizwa na kuachana kwao kulimuumiza sana hasa ukiangalia kuwa alikuwa ayari ameshazoea maisha fulani ya pesa , ilikuwa inampa wakati mgumu sana kuamua kufanya maamuzi hayo.

Faiza anasema kuwa alikuwa anapata wakati mgumu kurudi yale maisha ya uswahili.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.