Nilishawahi Kumshauri Hamisa Kuhusu Mahusiano Na Diamond Kabla:-Babu ale

Kwa sasa meneja  huyu alifunguka na kusema mazio kuhusu mahusiano ya msanii wake na mwana dada hamisa mobeo ambapo alisema kuwa kabla hamisa hajaanza mahussiano na diamond aliwahi kumwambia kuhusu kuwa na ahadhari juu ya mahusiano hayo kabla.

,Babu Tale amesema kabla ya Hamisa kuzaa na Diamond alishawaonya kwani wakati huo Diamond alikuwa katika mahusiano na Zari. “Kabla Hamisa hajapata ujauzito, tulikuwa tuna-shoot video ya Salome nikamwambia Zari sio adui yako, kama una mapenzi na Diamond mpende ila kama unataka kumkomesha, kamkomeshe Lulu, ila kama unataka kufanya hivyo haipendezi,” amesema. “Nikamwambia pia Diamond kama unafanya ujana, inatakiwa pia uangalie ujana wako yule demu (Zari) amekuja huko from nowhere amekuzalia mtoto pia,” Tale ameiambia Wasafi TV.

download latest music    

Moja ya sababu alizoeleza Zari kuwa zilichangia kuachana na Diamond Platnumz ni kitendo cha kuzaa na Hamisa Mobetto. Babu Tale kwa sasa yupo nchini Afrika Kusini kuhakikisha Diamond na Zari wanamaliza tofauti zao.

haa hivyo Babu Tale ilisemekana kuwa maekwenda  Afrika ya kusini kwa ajili ya, kufanya usuluhishi wa maaioz ya Zari na Diamond  hivyo bado majibu hayajakuwa wazi.Haa hivyo baadhi ya picha zimekuwa zikionyesha meneja huyo yuko nyumbani kwa Zari na familia yake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.