Nilitegemea Kuwa Tajiri Kama Diamond:-Juma nature

Msanii Juma Nature anasema kuwa kuwa miaka ya nyuma aliyokuwa akifanya kazi na album zake zilivyokuwa zikifanya  vizuri alitegemea  kuwa kama ingekuwa ni wakati huu basi angekuwa amenufaika sana na kutajirika sana.

Juma Nature anasema kuwa na yeye sasa angekuwa ni moja ya wasanii wachache  wenye mafanikio makubwa sana kama walivyo wakina Diamond lakini ndio muda nao ulishapita.

download latest music    

kwa uuzaji ule wa album kwakwelitulikuwa tunafunikwa funikwa tu wala hatukuwa tunanufaika sana kama sasa hivi na hatukupaswa kuwa hivi.

nilitegemea kwa kipindi kile sasa hivi na mimi ningekuwa hata nina tv zangu kama mnavyomuona Diamond sasa hivi  na viwanda vikubwa vya kwangu mimi mwenyewe.

Juma nature anasema kuwa pamoja na kwamba kuna vitu wanamiliki sasa hivi lakini ni kutokana na kukomaa kwao kama wasanii wa zamani.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.