“Nimepitia Kipindi Kigumu Sana” Maua Sama Afunguka Baada Ya Kuachiwa Huru

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na kibao chake cha ‘Iokote’ Maua Sama amefunguka kwa mara ya kwanza tangu aachiwe huru kwa dhamana na jeshi la polisi.

Maua Sama na Mtangazaji wa Clouds Media Soudy Brown walitiwa mbaroni wiki iliyopita baada ya kuchapisha Kwenye mitandao ya kijamii maudhui ya watu wakicheza na kukanyaga pesa.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Maua Sama amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia kipindi kigumu katika siku 10 ambazo alikuwa chini ya ulinzi:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.