Ninaweza Kuimba Kuliko Alikiba, Diamond:-Mkali Wenu

mwanamaigizo ya vichekesho nchini, Mkali Wenu amefunguka na kusema kuwa ana kipaji kikubwa cha kuimba kuliko hata wasanii wakubwa wanaojulikana sana na wenye majina lakini hajaamua tu kuimba kwa umakini la akiamua  anaweza kufanya zaidi ya hiyo.

Akiongea na bongo5 mkali wenu amabe hivi karibuni ametoa wimbo akiwa amemshirikisha Harmorapa anasema kuwa yeye ni zaidi ya Alikiba, ni zaidi ya Diamond Platinumz au Haromize, mkali wenu anasema kuwa kwa sasa hafanyi muziki kama kitu serious lakini akiamua kufanya kwa umakini basia anweza kufanya vizuri zaidi ya hapo.

download latest music    

Mimi sijaamua tu ngoma yangu iendee sana lakini mimi nakuhakikishia kuwa napenda sana kuimba, na mimi  ninaimba kuliko hata diamond Platinumz, au harmonize, kuliko hata alikba, yule  wa yaah seduce mee..ila sema tu sijaamua kufanya lakini nikaona bora nifanye kitu kidogo tu nikatunga nyimbo, nikaandika na kisha nikamweka harmorapa pale  , kwaio nikiamua kufanya mimi nafanya dadake:- aliongea mkali wenu alipokuwa akiongea na mwandishi wa habari wa bongo 5

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.