Ninaweza Kuzaa na Sugu Ana Mbegu Nzuri:-Faiza Ally

Mwanadada mjasiriamali amabe pia ni bongo movies faiza ally amefunguka na kusema kuwa hana mpango wa kuolewa na mwanaume aliyewahi kuzaa nae mtoto wake wa kwanza ambae ni mbunge wa Mbeya  mjini Mr Sugu lakini anaweza kuzaanae mtoto mwingine kwa sababu baba huyo ana mbegu nzuri.

Sugu ninaweza kuzaa nae mtoto mwingine kwa sababu ana mbegu nzuri sana kanipatia mtoto wa kike mzuri sana, ila sio kuolewa nae kwa sababu tulishashindwana hapo awali  sidhani hata kama tutawezana tena.

Faiza na Sugu walikuwa na watu wa kugombana katika mitandao kila siku kuhusu malezi ya mtoto huku mama huyo akisema kuwa baba hayupo makini katika kumhudumia mtoto wake, hata hivyo faiza amekuwa mtu wa kufunguka mambo mengi sana kuhusu sugu lakini sugu siku zote amekuwa kimya na hataki kuongea chochote kuhusu anayoyasema mzazi mwenzie.

download latest music    

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.